Kama simu yako ina front camera,mpigie mwenye front camera kwa kufanya hivi...nenda kwenye contact husika (unayetaka kumpigia) nenda option(inategemea simu yako,kama ni soft touch jaribu ku hold hiyo contact) kisha video call....hakikisha unayempigia ana video call,haihitaji internet access na inacost gharama zile zile za voice call