Msaada kuhusu Ufugaji Nyuki

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Jul 5, 2011
784
326
Habari,

Naomba ushauri kwa kuvuta nyuki kwenye mzinga. Najifunza ufugaji nyuki na nimejenga mzinga mdogo wa kama futi2 kwa 2.

Nlishauriwa nichome nnta na nimefanya hivo wiki ya pili sasa sioni nyuki hata mmoja. Mzinga wangu nimeufunga juu ya mti. Je nifanyeje ili nyuki waje kwa wingi??

Kuna kitu kingine zaidi ya Nta?

Msaada please
 
Ngoja wataalamu waje. Nafikiri kunanjia nyingine za kuweka mbegu ya nyuki(colon).katik mzinga
 
Habari,

Naomba ushauri kwa kuvuta nyuki kwenye mzinga. Najifunza ufugaji nyuki na nimejenga mzinga mdogo wa kama futi2 kwa 2.

Nlishauriwa nichome nnta na nimefanya hivo wiki ya pili sasa sioni nyuki hata mmoja. Mzinga wangu nimeufunga juu ya mti. Je nifanyeje ili nyuki waje kwa wingi??

Kuna kitu kingine zaidi ya Nta?

Msaada please
Kamata hao nyuki wa kibisa wa kwenye mauw kama wawali kawaulie hapo kwenye mzinga harufu yao itawavutia nyuki kutok sehemu mbalimbali
 
Habari,

Naomba ushauri kwa kuvuta nyuki kwenye mzinga. Najifunza ufugaji nyuki na nimejenga mzinga mdogo wa kama futi2 kwa 2.

Nlishauriwa nichome nnta na nimefanya hivo wiki ya pili sasa sioni nyuki hata mmoja. Mzinga wangu nimeufunga juu ya mti. Je nifanyeje ili nyuki waje kwa wingi??

Kuna kitu kingine zaidi ya Nta?

Msaada please
uku kwetu usukumani naona wanapaka mafuta ya samli kwqenye mzinga haichukui mda wanakuja
 
Kwa ushaur bora wa kilimo cha nyuki tembelea ofisi za MWAMBOA BEEKEEPING GROUP ipo tanga wilayan lushoto kutoka lushoto mjini mpaka eneo moja linaitwa MOA Nauli yake sh 4000.hapo utapata elimu yooooote kuhusu nyuki .Link yao nimeisahau ili ingi google andika mwamboa beekeeping group utawapata
 
Sawa ntajaribu hii njia asante. Ngoja niskie pia kwa wataalamu wengine
Muda imepita, Ila nimeona nilijibu jambo hili ili watu wengine wasije kufanya jambo hili ambalo siyo sahihi.

Kutega nyuki waingie ndani ya mzinga kuna mambo ya kuzingatia kufanya, moja wapo hilo la kuchoma Nta ndani ya mzinga wako.

Sasa sijajua hiyo mizinga yako ina viunzi au fremu, lakini kama inavyo cha kwanza hakikisha umweka Nta kwenye mchirizi yake. Halafu tafuta majani yaitwayo Malumba (Majani ya Asili) yasugue ndani ya mzinga kicha chukua kigaye au bati na kuweka mkaa wa moto kicha choma ndani ya mzinga kufukiza Nta na majani hayo kwani harufunyake huwavutia nyuki.

Baada ya hapo tundika mzinga wako kwenye eneo linalofaa kwa utegaji nyuki.

Lakini utegaji nyuki pia una msimu hivyo kuingia nyuki kuna muda wake, na muda mzuri ni kuanzia Agosti hadi April.

Mwezi Machi na April ndicho kipindi chenye nyuki zaidi hivyo iwapo ulitega kuanzia tofauti na miezi hiyo vuta subira.
 
Back
Top Bottom