Msaada kuhusu ubora,uimara wa nissan x-trail

Msaada kuhusu ubora,uimara wa nissan x-trail

we live once, km unaipenda hy nunua, km ni nissan yyote chukua note, yaan ulaji wake wa mafuta unakimbizana vitz na saiz yake imeizid ist kidogo, na zipo za 4wd.
 
Mimi nimejaribu kuuliza kuhusu hiyo Xtrail na nimepewa majibu tofauti tofauti.
1. Ila ni magari imara kama unmalitumia vizuri
2. Spea zake ni ghali kwa kuwa hakuna 'fake'
3.Unatakiwa ufanye matengenezo (maintenance) kwa wakati
4. Mafundi wanashauri unapolinunua kutoka nje, shughulikia thermostat (wanasema itoe) kwa maana itachemsha nahisi labda ni masuala ya hali ya hewa za huko na huko zilipotoka. Huenda labda wanaweka thermostat zinazoendana na huku kwa maana water circulation control lazima iwepo.
5. Ni gari nzuri kwa masafa marefu.

NOTE:
1. Mafundi wa kwetu wanapenda gari ambazo ni rahisi kuzitengeneza au ambazo wamezizoe ndiyo maana hawataki magari ya kuwasumbua sumbua.
2. Mafundi wengi hawana elimu ya darasani wana elimu ya kujifunzia garage ingawa zote zinabidi ziungane.
3. Watuamiaji wengi wa Kiafrika (Tz) hatupendi kufanya service kwa wakati na pia kuweka vitu Original kama engine oil na vipuri vinginevyo. Yaani tunapenda shortcut ya maisha.
4. watu wanatoa ushauri kwa gari wanalolipenda maana swali linahusu Nissan Xtrail wao wanakwambia nunua RAV 4.
5. Kuna Nissan dealer wako pale along Nyerere Road , unaweza kwenda kwa ushauri wa kitaalamu au service . Spea zinapatikana , inategemea uko mkoa gani . Ingia kwenye mtandao kisha tafuta.
5. Gari yoyote ni matunzo na hicho ndo cha muhimu.

Nawasilisha.
 
Mkuu maneno makali na unyanyapaa huo wenzako wanatumia dawa kwa kujua watapona wewe unasema hata akitumia ARV anakufa soon
Muongo huyoARV ukitumia vizuri no pombe kali,no maambukizi mapya,chakula safi,mazoezi kidogo. Utadum sana mkuu. Usiwakatishe tamaa bure.
 
Xtrail sio gari nzuri,zinaharibika sana injini. Tatizo lao kubwa ni injini,cylinder head zake zinawahi kuharibika na kuchanganya. Sikushauri mkuu ununue xtrail. Nunua gari nyingine ila xtrail utakuja nambia.
Nakubaliana na wewe mkuu,tena ikishaanza kubadilisha mlio ndo microfon test ujue kazi ndo imeanza..
 
Nina gari wanazonunua wasio na uzoefu wa magari hasa akina mama. Kwa mtu ambaye anayajua magari vizuri hawezi kununua gari hiyo, hasa ukizingatia mazingira ya kwetu.
Hizo gari ni very smooth, zinataka lami. Hazipendi mikikimikiki. Kama ulivyoambiwa, zinataka maintenance ya Mara kwa Mara, vinginevyo itakushinda.
 
Nina gari wanazonunua wasio na uzoefu wa magari hasa akina mama. Kwa mtu ambaye anayajua magari vizuri hawezi kununua gari hiyo, hasa ukizingatia mazingira ya kwetu.
Hizo gari ni very smooth, zinataka lami. Hazipendi mikikimikiki. Kama ulivyoambiwa, zinataka maintenance ya Mara kwa Mara, vinginevyo itakushinda.
Sorry, ni gari wanazonunua wasio na uzoefu wa magari.
 
X- Trail ukiiburuza kwenye barabara isiyo ya lami utaichukia mapema mno! Itembelee kwenye lami hapo utaipenda
 
Kuna boss wangu anayo ameshabadili engine mara 3 na gear box amedilisha Mara 2 ila sijui kama kuna shida nyingine
 
Back
Top Bottom