LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,223
Kwa ujumla nissan ni.nzuri kama ni mpya ila used utalia si muda mrefu. Ni mzuri sana miguuni ila injin bomu. Wengi unaowaona wamejaa kwenye hizo gari wameweka injini za.rav4. Kama utakubaliana na kuweka injini nyingine nunua. Injini bomu sana kaka ndio maana bei zake down
MKUU sio kweli bana engine za Nissan ziko POW sana ujue wabongo tunatumia magari vibaya na mwisho wa siku tunazingizia magari mabovu.
sum kubwa na ugonjwa MKUBWA WA engine ya Nissan ni kuchemsha tuu nakutokana na wabongo wengi kuwa hatujui kutumia gari vizuri unakuta MTU anaendesha gari hata haangalii kwenye dash board gauge inasomaje yy nimambio tuu.
gari inachemsha mpaka Inazima sasa hapo unategemea nini??
gari ikisha chemsha kuifanyia sasa malekebisho ndio msiba MKUBWA maana bei ya SPEA zake imesimama balaaa .ndio maana wengi wao huishia kukimbilia kwenye engine ya RAV 4 ya 3s .MKUU unabisha sasa hapo mbovu mtumiaji au gari??
na hili nitatizo kubwa sana