Xtrail gari nzuri asikwambie mtu.....spare zake ziko ila ghali kuliko Toyota.Gari nzuri,gari imara haina matatizo kabisa kama ukizingatia SERVICE kwa wakati....Ingia SBT uagize mwenyewe.
si kweli ni gari imara iko poa halafu ni4wd mkuuHilo ni janga la taifa, kwanza spare zake ni very expensive, na gari haina uwezo wa kumudu mikimiki, nakushauri bora utafute rav4, nina ushahidi na ninachokisema
Hilo ni janga la taifa, kwanza spare zake ni very expensive, na gari haina uwezo wa kumudu mikimiki, nakushauri bora utafute rav4, nina ushahidi na ninachokisema