waungwana naomba msaada kuhusu kufanya transfer kutoka chuo kimoja kwenda kingine
je garama inagharimu kias gani?
je inawezekana kubadili kozi uko unakokwenda?
kuomba tranfer ufanyika online au mtu anaenda ofisini moja kwa moja?
swala la mkopo litakuaje transfer inausiana na mkopo au?
je ni wakt gani sahihu wa kufanya transfer?
msaada tafadhali na mengine yausianayo na tranfer.....
hope ntapata majibu sahihi
je garama inagharimu kias gani?
je inawezekana kubadili kozi uko unakokwenda?
kuomba tranfer ufanyika online au mtu anaenda ofisini moja kwa moja?
swala la mkopo litakuaje transfer inausiana na mkopo au?
je ni wakt gani sahihu wa kufanya transfer?
msaada tafadhali na mengine yausianayo na tranfer.....
hope ntapata majibu sahihi