Mkanganyiko
Member
- Feb 3, 2014
- 34
- 11
Habari zetu wana jamvi...naomba kujua bei ya Toyota Coaster hapa dar kwenye show room. Pia endapo nitakuwa na pesa pungufu ya kununulia inawezekana kupewa gari halafu ukalipa kidogo kidogo hadi deni litakapoisha? Mwisho napenda kujua ni wapi naweza kupata coaster kwa njia ya kulipa nusu ya hela halafu tukaendelea kulipana.
Nawasilisha
Nawasilisha