daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,342
- 3,236
Nimenunua smart TV aina ya TCL 32"
Hapo kabla nilidhani smart TV zina android os ambayo naweza download application kama azam app ili niweze kuangalia TPL,lakini sijaona uwezekano huo.
Kwa ujumla sijaona tofauti kubwa na hizi za kawaida.
Je kuna matumizi mengine ambayo labda sijagundua?
Hapo kabla nilidhani smart TV zina android os ambayo naweza download application kama azam app ili niweze kuangalia TPL,lakini sijaona uwezekano huo.
Kwa ujumla sijaona tofauti kubwa na hizi za kawaida.
Je kuna matumizi mengine ambayo labda sijagundua?