Msaada kuhusu smart tv

Msaada kuhusu smart tv

daraja la kigamboni

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2016
Posts
3,342
Reaction score
3,236
Nimenunua smart TV aina ya TCL 32"
Hapo kabla nilidhani smart TV zina android os ambayo naweza download application kama azam app ili niweze kuangalia TPL,lakini sijaona uwezekano huo.
Kwa ujumla sijaona tofauti kubwa na hizi za kawaida.
Je kuna matumizi mengine ambayo labda sijagundua?
 
Hizi TV kama ni mpenzi wa kuangali TV shows/movies kwa huduma za kulipia kama Netflix, HBO, Hulu, etc hapo ndio nyumbani kwake, ila kama unataka kuiongezea uwezo simu yako ipate Android tafuta TV box za Android, uta download app yoyote ile kutoka play store au source nyingine. Mfano Kodi, Azam, Startimes, Mobdro, etc.TCL ni nzuri sema zinatumia Linux OS ambayo hauwezi kuweka Apps kama kwenye Android. Android Box itaifanya TV yako kuwa ya kisasa zaidi.
314A94C854A6D8E4.png
27359638EFBF2D1F.png
A55D473AA9F99936_1.jpeg
B55436840645F612_1.jpeg
 
Hizi TV kama ni mpenzi wa kuangali TV shows/movies kwa huduma za kulipia kama Netflix, HBO, Hulu, etc hapo ndio nyumbani kwake, ila kama unataka kuiongezea uwezo simu yako ipate Android tafuta TV box za Android, uta download app yoyote ile kutoka play store au source nyingine. Mfano Kodi, Azam, Startimes, Mobdro, etc.TCL ni nzuri sema zinatumia Linux OS ambayo hauwezi kuweka Apps kama kwenye Android. Android Box itaifanya TV yako kuwa ya kisasa zaidi.
View attachment 1011438View attachment 1011439View attachment 1011440View attachment 1011441
Asante kwa ufafanuzi
Kumbe bora ningenunua tv ya kawaida tu halafu nikanunua na hiyo tv box
 
Hizi TV kama ni mpenzi wa kuangali TV shows/movies kwa huduma za kulipia kama Netflix, HBO, Hulu, etc hapo ndio nyumbani kwake, ila kama unataka kuiongezea uwezo simu yako ipate Android tafuta TV box za Android, uta download app yoyote ile kutoka play store au source nyingine. Mfano Kodi, Azam, Startimes, Mobdro, etc.TCL ni nzuri sema zinatumia Linux OS ambayo hauwezi kuweka Apps kama kwenye Android. Android Box itaifanya TV yako kuwa ya kisasa zaidi.
View attachment 1011438View attachment 1011439View attachment 1011440View attachment 1011441
tv box ni bei gan mkuu?
 
Nimenunua smart TV aina ya TCL 32"
Hapo kabla nilidhani smart TV zina android os ambayo naweza download application kama azam app ili niweze kuangalia TPL,lakini sijaona uwezekano huo.
Kwa ujumla sijaona tofauti kubwa na hizi za kawaida.
Je kuna matumizi mengine ambayo labda sijagundua?
Tofauti kubwa ni kwamba smart inauwezo wa kuingia internet, za kawaida haina uwezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tv box ni bei gan mkuu?
Kwa hapa TZ zipo hata za laki moja, but quality yake inakuwa sio nzuri. Hio niliyoweka hapo unaweza hata kucheza games bila shida, mm nilinunua online.
 
Asante kwa ufafanuzi
Kumbe bora ningenunua tv ya kawaida tu halafu nikanunua na hiyo tv box
Mkuu wala hautajuta kuchukua hiyo tv huduma za kulipia ndio zinawashinda wengi
Ila hapo unapata chaneli za ndani free kwa kutumia antenna tu bila kulipia king'amuzi chako kama unacho
Utapata STAR TV , I T V, E A T V, UHAI TV, AGAPE TV T B C ,
Pia unaweza kusikiliza radio kupitia hizo chanel star tv=kiss fm na radio free, itv=radio one,eatv=east africa radio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wala hautajuta kuchukua hiyo tv huduma za kulipia ndio zinawashinda wengi
Ila hapo unapata chaneli za ndani free kwa kutumia antenna tu bila kulipia king'amuzi chako kama unacho
Utapata STAR TV , I T V, E A T V, UHAI TV, AGAPE TV T B C ,
Pia unaweza kusikiliza radio kupitia hizo chanel star tv=kiss fm na radio free, itv=radio one,eatv=east africa radio

Sent using Jamii Forums mobile app
DVB-T2 ipo hata kwenye TV ambazo sio smart, nadhani yeye lengo lake kubwa ni kupata channels zinazo onyesha kandanda.
 
Mkuu wala hautajuta kuchukua hiyo tv huduma za kulipia ndio zinawashinda wengi
Ila hapo unapata chaneli za ndani free kwa kutumia antenna tu bila kulipia king'amuzi chako kama unacho
Utapata STAR TV , I T V, E A T V, UHAI TV, AGAPE TV T B C ,
Pia unaweza kusikiliza radio kupitia hizo chanel star tv=kiss fm na radio free, itv=radio one,eatv=east africa radio

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kwa tuliopo kijijini tunaweza kupata hizo channel kwa kutumia dish?
 
Kwa hapa TZ zipo hata za laki moja, but quality yake inakuwa sio nzuri. Hio niliyoweka hapo unaweza hata kucheza games bila shida, mm nilinunua online.
Vipi kuhusu data? Gharama si kubwa?
 
Nimenunua smart TV aina ya TCL 32"
Hapo kabla nilidhani smart TV zina android os ambayo naweza download application kama azam app ili niweze kuangalia TPL,lakini sijaona uwezekano huo.
Kwa ujumla sijaona tofauti kubwa na hizi za kawaida.
Je kuna matumizi mengine ambayo labda sijagundua?
1. Unaweza ukaweka miracast ama wifi direct ama technology inayofanania na ukatumia simu yako ku cast app ya azam ama kitu chochote toka kwenye simu na ukaona kwenye tv.

Mara nyingi technology hii huja na tv

2. Tafuta app inayoplay url direct, naamini tv yako haikosi, then unaweza ku extract url yoyote ya live tv na kuplay.

Hope tv yako ni kama hii video
 
1. Unaweza ukaweka miracast ama wifi direct ama technology inayofanania na ukatumia simu yako ku cast app ya azam ama kitu chochote toka kwenye simu na ukaona kwenye tv.

Mara nyingi technology hii huja na tv

2. Tafuta app inayoplay url direct, naamini tv yako haikosi, then unaweza ku extract url yoyote ya live tv na kuplay.

Hope tv yako ni kama hii video

Asante sana nimegain kitu
 
1. Unaweza ukaweka miracast ama wifi direct ama technology inayofanania na ukatumia simu yako ku cast app ya azam ama kitu chochote toka kwenye simu na ukaona kwenye tv.

Mara nyingi technology hii huja na tv

2. Tafuta app inayoplay url direct, naamini tv yako haikosi, then unaweza ku extract url yoyote ya live tv na kuplay.

Hope tv yako ni kama hii video

Asante sana nimegain kitu
 
Back
Top Bottom