Msaada kuhusu smart tv

Msaada kuhusu smart tv

1. Unaweza ukaweka miracast ama wifi direct ama technology inayofanania na ukatumia simu yako ku cast app ya azam ama kitu chochote toka kwenye simu na ukaona kwenye tv.
Nimefanikiwa kuunganisha kwa wireless
Nikiwa na application ya azam na Burma tv kwenye simu naangalia mpira kwenye tv

Mara nyingi technology hii huja na tv

2. Tafuta app inayoplay url direct, naamini tv yako haikosi, then unaweza ku extract url yoyote ya live tv na kuplay.

Hope tv yako ni kama hii video

Nimefanikiwa kuunganisha kwa wireless Nikiwa na application ya azam na Burma tv kwenye simu naangalia mpira kwenye tv
 
DVB-T2 ipo hata kwenye TV ambazo sio smart, nadhani yeye lengo lake kubwa ni kupata channels zinazo onyesha kandanda.
Hivi mkuu njia gani ntatumia ili channel zionyeshe za inbuilt in decorder zinasoma ila hazionyeshi shida nini ni phillips ila sio led ni LCD.
 
Hivi mkuu njia gani ntatumia ili channel zionyeshe za inbuilt in decorder zinasoma ila hazionyeshi shida nini ni phillips ila sio led ni LCD.
Channels nyingi zipo scrambled, maana ile receiver inapokea frequency za Startimes na Continental, mm kwangu zinaoyesha chache tu, 5 hazifiki, pia inategemea upo location gani.

Copyright 2017-2019 Mr. Mobile, Inc. All Rights Reserved.
 
Mwenye kuhitaji Mirror cast tuwasiliane maana hata mimi nilikua mhanga wa kutaka TV smart yenye kuweza kuweka android application lakini ikawa shida, Mirror cast ndio mpango mzima unaunga na simu yako tu unakula mzigo safi kabisa kwa kiwango cha bando la kawaida la mtandao wa simu.
 
Naomba kuuliza, je smart tv mfano TCL ikiibiwa inaweza kutresiwa (track) na kuipata kama inavyofanyika kwenye smartphone?
 
Tumia chromeCast kwenye simu na hiyo tv utaona Utaona unachokitaka au hostpot
 
Back
Top Bottom