samahani jaman msaada plz mim nataka kuendelea na degree nililipa pesa yangu nacte kabla hawajasema tunatakiwa kuaply TCU je kuna tamko lolote limetolewa kwa sisi tuliolipia nacte au ndo pesa imeliwa???
Endelea kukomaa nao mkuu!Wakuu na mm nmelipiaa kla kitu ila awaja nitumia username na password katk email yang toka jana na ukizingatia cjafanya machaguo bado... Msaada pliiz
BORA WW JANA MM SINCE 26th july kWakuu na mm nmelipiaa kla kitu ila awaja nitumia username na password katk email yang toka jana na ukizingatia cjafanya machaguo bado... Msaada pliiz
Hatma yetu ni iipi mkuu, ukizingatia muda ndo huo unayoyomaaBORA WW JANA MM SINCE 26th july k
ME NIMESHAIPATA ILITUMWA KWENYE SPAM/BULK MAIL JARIBU KUCHEKHatma yetu ni iipi mkuu, ukizingatia muda ndo huo unayoyomaa
Angalia kwenye spam kwenye email yako utaiyona email ya nacte kuleWakuu na mm nmelipiaa kla kitu ila awaja nitumia username na password katk email yang toka jana na ukizingatia cjafanya machaguo bado... Msaada pliiz
Boss jaribu kuCheki kwenye spam box katika e-mail yako.Wakuu na mm nmelipiaa kla kitu ila awaja nitumia username na password katk email yang toka jana na ukizingatia cjafanya machaguo bado... Msaada pliiz