Msaada kuhusu Simu Za Samsung

Msaada kuhusu Simu Za Samsung

kama Ni samsung Za Anroid Tumia Maelezo Haya Ya chief-mkwawa


unaenda setting then about unaangalia baseband version kwenye mchina itaanza na neno maui kama inavyoonesha picha
snap20120101_010419.png


ikiwa original baseband inakua aina ya simu kama inavyoonekana hapo chini

Samsung-Galaxy-S3-Android-4.2.png


cha muhimu ni hicho
mchina baseband inaanza na maui original ni aina ya simu
 
Last edited by a moderator:
ya kwangu haijaanza na maui ila ni ya kichina. kinachoniuma haina play store . nimedownload na kuinstall ila inakata nahic niko njiani kuitia chooni. ni galaxy wonder .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom