Niliajiriwa serikalini kwa masharti ya kudumu. Nilifanya kazi kwa muda wa miaka 15 na miezi 9 niliacha kazi bila kufukuzwa na wala siku andika barua kwa Katibu mkuu wangu wa wizara. Nina vielelezo vyote kama: Placement latter, Employment latter, confirmation latter, salary slips na Kitambulisho cha kazi. Shida yangu je, naweza dai pension yangu niliokuwa nachangia kwa muda wote huo? Sababu sasa hivi nina umri wa miaka 56. Naomba msaada wenu wa kisheria.