Msaada kuhusu second round

Weka quantity surveying Udsm huwez kosa
 
Weka Kama first priority halaf ukipata nichek matokeo yako yako mazur usihof utapata
 
Quantity surveying ni koz mpya pale Udsm watu wengi bado hawaja ifaham so competition ni ndogo ni koz iliyoanza mwaka Jana tuu na inahusu ujenz graduates ndo hawo wanaoitwa wakadiriaj ujenzi
 
kwa kozi alizoomba anaweza akapta Mungu anahusika kwenye hya mambo
 
Asante mkuu vipi wewe umechaguliwa hiyo quantity survey

Quantity surveying ni koz mpya pale Udsm watu wengi bado hawaja ifaham so competition ni ndogo ni koz iliyoanza mwaka Jana tuu na inahusu ujenz graduates ndo hawo wanaoitwa wakadiriaj ujenzi
 
Hizo kozi zote nilizojaza zina nafasi 40 na zaidi kidogo ndo zina afadhali. Nyingine nafasi 5 au 2 tu sasa hizo ndo sijaweka.
Pole sana kwa kutoappear round ya kwanza japo umejitahidi ktk ufaulu wako. Kukosa round ya kwanza haimaanishi ndo uchague chuo chochote na course yyte, hope umepitia kila chuo ulichochagua kwa round hii ya Pili....so wait selection na kuwa na utulivu coz vigezo vya kuchaguliwa unavyo
 
Uyo 100%
 
Je na hapa vipi wa kuu division two 12 DCE haezi akatemwa tena?
 

Attachments

  • 1474278983210.jpg
    36 KB · Views: 38
Asante mkuu nimepitia na kutathmini imebaki tu selection zitoke.
 
Mkuu kwa ufaulu huo kwa Pcm umekosaje chuo mbona mimi nimepata udsm na div 2 ya 10
 
Je na hapa vipi wa kuu division two 12 DCE haezi akatemwa tena?
Anatemwa vp nafas 300 na C rahisi ka unavo zan kwa division 2 kumbuka 65%washa Pata ambao bado ni 35 %
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…