Vyuo ulivyoomba nafas zao ni chacheK
Sawa mkuu ntaongeza nafasi moja kozi isiyo na ushindani. Ila ufaulu wangu sio mbaya sana nna division 1 ya 9 kwa PCM
Okey, nakuombea mafanikioHizo kozi zote nilizojaza zina nafasi 40 na zaidi kidogo ndo zina afadhali. Nyingine nafasi 5 au 2 tu sasa hizo ndo sijaweka.
Pole xn kjana mbona matokeo yako n mazur kushinda wenzangu na mm wa DDE kwa CBG 2013 nilichukuliwa na TCU 1st round hapa moro twn na mwez wa 11 navaa lile ligaun laoMkuu acha tu nimechanganyikiwa kukosa 1st round sikutegemea ila ndo hivyo.
Wenye division moja ni wengi tatizo ni competition omba na vyuo vingine kama RUCU INA kozi baadhi unazo zitaka.waweza kosa chuo dispute having cccHabari za siku wakuu. Je kwa matokeo haya kwa PCM nilipata CCC. Nilikosa 1st round sasa nimeapply second round computer science udsm, computer science IFM, Geoinformatics Ardhi na IT IFM. Wakuu kwa machaguo haya naweza pata au nikakosa. Nipo open kwa maoni na ushauri wenu.
jaza udom hutojutia..........K
Sawa mkuu ntaongeza nafasi moja kozi isiyo na ushindani. Ila ufaulu wangu sio mbaya sana nna division 1 ya 9 kwa PCM
Kwa ufaulu huo na choice alizofanya wala asihangaike naimani lazima atapataNaombeni msaada wadau, kuna dogo kakosa first selection na kaomba upya kama ifuatavyo
1.RUCU-Baed(remaining capacity 22)
2.SAUT(Arusha)-Baed(remaining capacity 233)
3.UDOM-Bachelor of arts in english(capacity 24)
4.MAKUMIRA(Arusha)-Baed(capacity 102)
5.KIU-Baed (capacity371)
COMB_ (HGL)
Matokeo (2 ya 11)
Vipi hapo anawezapata chuo, au afanye nn ili awe n uhakika wa kupata chuo.?
ushauri tafadhari.
Unapofanya application ni lazima ujifanyie tathmini ya uwezo wa kushindana na waombaji wengine kwa kuzingatia:Mkuu acha tu nimechanganyikiwa kukosa 1st round sikutegemea ila ndo hivyo.