utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 989
- 797
Wanajukwaa nina simu yangu ya Huawei u8650 zile za tigo. Lakini juzi kwa bahati mbaya nikaidondosha ikaland kwenye screen na ikatokea crack upande wakushoto kwenda kulia chini ..na crack yenyewe inaniumiza roho mno sana sana nikiwa kwenye jua maana ndio inaonekana sana na sina ela ya kununua mpya ..Naomba msaada wenu kama mtu anajua sehemu Dar au hapa mwanza wanao weza kunibadilishia kioo ...ahsanteni