MSAADA KUHUSU RADIO

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
10,045
Reaction score
14,666
Wadau nimekua nikinunua Sabufa hizi za wachina lakini kinanchonishangaza haziwezi kuhimili sauti inayotoka kwenye PC hususa ni Media play ya VLC mimi ni muumini wa Sauti Kubwa nimeshangaa hizi Sabufa mda mwingine zinazima na Kukoroma kitu ambacho Si enjoy kabisa! Ushauri ninunue Radio gani nipate furaha.
 
Tuanze na budget yako,usije kutajiwa redio au subwoofer ya milioni moja hapa mpaka milion ishirini kitu kama bose au bang &olofsen
 
Ni aina ipi ya hizo sabufa, yaani hizi za kodtek, ailiang, sea piano au!?.. Nijibu hili ili tujue nini cha kukushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…