Habari zenu wakuu, nimechimba kisima cha mkono cha futi kama 35 hv (10.666 meter) na nataka ninunue mashine kwa ajili ya kumwagilia, swali langu ni je
1. Nikichukua zile za kudumbukiza kwenye maji (submersible) ya 0.5hp na jenerator la 1 hp na mpira wa nchi moja nitaweza kupata maji ya kutosha ya kumwagilia heka 2?? (Sitaki kuyapeleka kwenye tanki, yaani nikiyatoa kwenye kisima ni moja kwa moja shambani) AU
2. Nikichukua hizi mashine za kawaida sijui kingmax au ingco nk zinazotumika kumwagilia toka kwenye mito au mabwawa zitanifaa?? Maana nyingi naona suction yake zinaishia futi 26 ambayo ni kama mita 8?????
1. Nikichukua zile za kudumbukiza kwenye maji (submersible) ya 0.5hp na jenerator la 1 hp na mpira wa nchi moja nitaweza kupata maji ya kutosha ya kumwagilia heka 2?? (Sitaki kuyapeleka kwenye tanki, yaani nikiyatoa kwenye kisima ni moja kwa moja shambani) AU
2. Nikichukua hizi mashine za kawaida sijui kingmax au ingco nk zinazotumika kumwagilia toka kwenye mito au mabwawa zitanifaa?? Maana nyingi naona suction yake zinaishia futi 26 ambayo ni kama mita 8?????