Msaada kuhusu pikipiki ya kazi ( boda boda)

Msaada kuhusu pikipiki ya kazi ( boda boda)

Jemedal_bin_chichi

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
542
Reaction score
585
Husikana na Headline naomba msaada kwa wataalamu wa masuala ya pikipiki na matumizi yake Je ni pikipiki gani inafaa kwa matumizi ya kazi (boda boda), maeneo ya mjini?

Na kwasababu gani iwe aina hiyo ulioitaja, pia nataka kumkabidhi mtu tuu, haita kuwa ikiendeshwa na Mimi mwenye nayo natanguliza shukran za pekee
Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tungoje majibu mkuu. Ila kwa pikipiki ya kazi sikushauri Boxer
 
bosi habari, kama bajeti yako inaruhusu chukua honda ace bei 2,800,000 tu. utapata mashine yenyewe mpya, kofia moja bure, na usajili wa kadi bure. honda ziko vizuri mkuu hutapata shida na chombo hicho. nipigie simu 0717-518359. nikuelekeze uje ofisini kwetu.
 
Mkuu hutajuta kuchukua tvs zina roho ya paka kweli. Bei ni 2m kamili mi ninayo tangu 2015 na mashine bado kinanda. Changamoto ni upatikanaji wa spare zake. Asante.
 
Back
Top Bottom