Sasa huku zaidi. [emoji23][emoji23]
Hahah hayo maneno huwa Yana access when penzi likiwa changa. ...watu huwa wanajiona kama wapo kwenye sayari mpya. .au wapo usingizini wanaota njozi tamu Hawa tamani hata kuamka
Usiombe watu wakulane. .wakisha kulana tu '' Mara mtu akipiga simu haipokelewi. ..Mara Akitumiwa text hajibu. .no caring kama awali. Full majanga -Mahusiano bwana dah! !
Fact
Ila unaweza ukalibadili hili sababu unalijua
Hahah hayo maneno huwa Yana access when penzi likiwa changa. ...watu huwa wanajiona kama wapo kwenye sayari mpya. .au wapo usingizini wanaota njozi tamu Hawa tamani hata kuamka
Usiombe watu wakulane. .wakisha kulana tu '' Mara mtu akipiga simu haipokelewi. ..Mara Akitumiwa text hajibu. .no caring kama awali. Full majanga -Mahusiano bwana dah! !
Assnte --- Mimi sijui namna ya kubadili hilo labda uni fundishe
Rule no:1 Don't rush
Hahaha huu kweli ni uchawi[emoji23][emoji23]Acha uchawi mkuu.
Rule no:1 Don't rush
Hii inategemeana na mlivyokutana ntaiapply Kama ni one night standUmeni kumbusha ya vien diesel. .... kalala na mwanamke ' kisha akamtoroka. Dada wawatu alipo Kuja kuamka palivyo kucha. ..aka kutana na message. .Rule #1 don't fall
Hii inategemeana na mlivyokutana ntaiapply Kama ni one night stand
Haha. ..indeed '"
Ila moyo unakiherehere unaweza ukakugomea [emoji23][emoji23]