Msaada Kuhusu pete ya uchumba.

Umenitupa sana.....sawa tu lakini.
Nyumbani unakujua kwanini usije kusalimia lakini?
Ohoooo!!! Kibao kinageuzwa...ila kweli ulipotea bana nikawaza ngoja nikakusakalanye usiku wa manane, tafuta weeeee wapi bana nikahisi bwana mkubwa kakupiga marufuku ku log in ilibaki kidogo tu nikuibukie maskani aisee
 
Oooh.... Agata binti mrembo pekee nimpendaye JF
Yaani ni ww tu uniruhusu nije Sumbawanga kujitambulisha. Tufanye halaka tusije kuchelewesha watoto wetu watarajiwa kuanza shule.
Na Mimi utanivisha Pete lini?
 
Oooh.... Agata binti mrembo pekee nimpendaye JF
Yaani ni ww tu uniruhusu nije Sumbawanga kujitambulisha. Tufanye halaka tusije kuchelewesha watoto wetu watarajiwa kuanza shule.
Hahahaha Fanya kweli basii..unataka nizeeke
 
Acha visingizio, uwe unapitia nyumbani....
Ohoooo!!! Kibao kinageuzwa...ila kweli ulipotea bana nikawaza ngoja nikakusakalanye usiku wa manane, tafuta weeeee wapi bana nikahisi bwana mkubwa kakupiga marufuku ku log in ilibaki kidogo tu nikuibukie maskani aisee
 
Navyoelewa kubariki ndoa ni kwa watu ambao wameishi pamoja Kama mke na mume bila ndoa Ila uliezaa nae bila kuishi nae mnafunga ndoa na sio kubariki ndoa ingawa process Ni sawa ndani ya kanisa
Hii ya kurudi kundini kweli maana me Ni mlutheri..!! Vip Kubariki ndo na harusi tofauti yake ni nini?? Au tofauti ni kiimani zaidi lakini mavazi hata ya kuvaa siku ya sherehe kama shela yanafanana???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…