kaka nahitaji port sana maana pd proxy wiki ya pili sasa haiconnect kabisa..sasa sijui tatizo ni voda au maana hata meteorvpn na yenyewe inazingua.,...need info guys plz nielewesheni kama shida ni voda au.,maana kwa bando ya tigo pdproxy inaconnect ila haina maana coz bando ikiisha na connection inakata heeeeeelp guyz timez running out :A S confused::A S confused::A S confused: