Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,720
- 2,393
Wakuu, mwenye uelewa wa hili neno mama sitta, maana nimekuwa nilikisia kwenye nyimbo nyingi za kibongo... hata wimbo i
Ukiwa mgumu( sio wimbo wa ma-Love) utasikia neno mama sitta.
Au ndio Msemo wa kisasa (fashion), kwann wasiseme mama chausiku, waseme mama sitta tuu.
Msaada wenu, mnitoe ushamba.
Ukiwa mgumu( sio wimbo wa ma-Love) utasikia neno mama sitta.
Au ndio Msemo wa kisasa (fashion), kwann wasiseme mama chausiku, waseme mama sitta tuu.
Msaada wenu, mnitoe ushamba.

