Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 953
- 413
we mshakaji umetumwa sio siri, unaongeaa kama duanzi flan ivi ambae hajielewiUkienda baada ya semista moja ndo utanielewa
we mshakaji umetumwa sio siri, unaongeaa kama duanzi flan ivi ambae hajielewiUkienda baada ya semista moja ndo utanielewa
kapige shule mkuu pako njemaa, usiskize ushauri wakukatisha tamaa binadamu wanapenda wenzao washindwe.wakuu hata mie naomba kufahamishwa kuhusiana na medical laboratory maana nimechaguliwa hapo
Kwani washatoa majina MUM? hata Mimi niliomba paleNimeshaomba pale na wamenichagua bachelor of science with education (Biology and chemistry )
Udini kivipi wa st joseph au...?Hamna kitu kinachonichukiza kama udini
kapige shule mkuu pako njemaa, usiskize ushauri wakukatisha tamaa binadamu wanapenda wenzao washindwe.
mkuu watu kama hao tumeshawazoea tumekutana nao sana wala hawana shidakapige shule mkuu pako njemaa, usiskize ushauri wakukatisha tamaa binadamu wanapenda wenzao washindwe.
mkuu kwan udini uko wapUdini kivipi wa st joseph au...?
Unapotea njia huku unajiona...sua ni dhahabu...hao MUM sijui wanafanyaga kazi wapi..Mimi nimechaguliwa sua lkn nataka niende Mum nafanyeje
[emoji15] [emoji15] tatizo hampepend ukweli vijanawe mshakaji umetumwa sio siri, unaongeaa kama duanzi flan ivi ambae hajielewi
UongoKama wewe sio muslim sahau kupata nafasi
Kama wewe sio muslim sahau kupata nafasi
Kama ni mtu wa maadili ya dini nenda..kama siyo iakula kwako...
Hamna kitu kinachonichukiza kama udini
wakuu hata mie naomba kufahamishwa kuhusiana na medical laboratory maana nimechaguliwa hapo
yeah mkuu kuna medical laboratoryMkuu MUM kwani Wanatoa "MEDICAL LABORATORY"??