uzuri kivpWanajf hiki chuo kipo vizuri? Kwa ambaye anakifaham vizur anisaidie tafadhali
kwanza kipo mjini, wapo lecturers wa kutoshaWanajf hiki chuo kipo vizuri? Kwa ambaye anakifaham vizur anisaidie tafadhali
wanatoa products ambayo inakubalika ktk soko la ajira la tzWanajf hiki chuo kipo vizuri? Kwa ambaye anakifaham vizur anisaidie tafadhali
Hakuna taasisi yoyote inayotoa elimu ya juu isiyokuwa chini ya TCU. Tofauti ya MUM na vyuo vingine ni utaratibu wa kudahili; unaomba moja kwa moja chuoni kisha udahili unahusisha TCU.Ni majiran zng hapa moro twn
Ila nasikia hakipo under TCU unaweza omba physically
acha kumkatishaa tamaa mwenzakoo,, sijui una pointi 2 wewe... yani mijitu mingine bana.Duuuuuu vyuo vingine bana... Acha nisiseme tu