Msaada kuhusu MSD

mbaga45

Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
70
Reaction score
22
Ndugu ******, MSD inakukaribisha kwenye usahili kwa nafasi uliyoomba ya Warehouse Assistant itakayofanyika siku ya Jumanne tarehe 13/6/17 saa 3:00 asubuhi shule ya Sekondari Chang'ombe ndani ya DUCE, Dar es Salaam. Tafadhali fika na kitambulisho chako. Gharama za usafiri hazitarudishwa.
Kwa maelezo zaidi piga 255 22 2860890/7

"Je kuna haja ya kwenda na vyeti au kitambulisho chochote too"
 
vyeti muhimu mkui kila la kheri
Kwn itakuwa tofauti na wngne,kama tunaenda kwenye paper huwa vyeti sio lzma. Maana ata ukienda umevaaa boxer wawooooo wanakuruhusu ufanye paper Lao.
 
Kwn itakuwa tofauti na wngne,kama tunaenda kwenye paper huwa vyeti sio lzma. Maana ata ukienda umevaaa boxer wawooooo wanakuruhusu ufanye paper Lao.
sawa fuata ulivyoelekezwa.
 
VYETI NA VITAMBULISHO PIA.IKIBIDI WEKA NA PASSPORT SIZE NNE USISAHAU NA POWER BANK YA ASILI AKA HIRIZI
 
VYETI NA VITAMBULISHO PIA.IKIBIDI WEKA NA PASSPORT SIZE NNE USISAHAU NA POWER BANK YA ASILI AKA HIRIZI
Hahahahahhahaha. Umetishaaa kaka.power bank huwa zinahusika kumbee.ndo maana me huwa naferi kumbe zinatkiwa.
Me ntaenda na bible nadhni ni zaidi ya iyo *tunguli*
 
Piga namba hizo,kuwa makini na utapeli. Umepewa email au sms?
 
Hivi naomba kufahamishwa, shule ya sekondari Chang'ombe ipo ndani ya DUCE?
 
Kila mtu anasema ajapata sms cjui walikuwa watumia njia ku-select
 
Kwn itakuwa tofauti na wngne,kama tunaenda kwenye paper huwa vyeti sio lzma. Maana ata ukienda umevaaa boxer wawooooo wanakuruhusu ufanye paper Lao
Mkuu unapopata opportunity za namna hiyo, jitahidi sana usiwe mtu wa kulaumiwa ( i mean usijaribu kutengeneza any loop hole) Kama unao uwezo wa kubeba vyeti kwanini usibebe tu? Kwenye mitihani ulibeba Penseli na hapakuwa na mchoro, kwan kunashida hapo; Kama ni mkristo Basi Kumbuka Vaeni Silaha zote.
 
P0a.kaka ntafanya ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…