Quinn
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 473
- 1,185
Niliona tangazo la mofcom scholarship 2019 na vigezo vyao ilikuwa haioneshi kama ni mpaka uwe mtumishi uliyeajiliwa na serikali.
Nimefanya application online na kuprint hardcopy ili kupeleka ubalozi mdogo wa china uliopo maeneo ya msasani Rd, osterbay (Economic and commercial) kwani application ya hii scholarship inakuhitaji kupeleka harcopy uko economic and commercial office baada ya kumaliza online application.
Nimefika kule ubalozi mdogo nikakutana na mlinzi akanigomea kuingia na akanambia hii scholarship ni kwa walioajiliwa na serikali kwa zaidi ya miaka miwili. Lakin tangazo linasema hii scholarship ni for young and middle age talented students na wala hayo ya kuajiliwa na serikali hayapo kwa mujibu wa tangazo.
Msaada jamani kwa anayejua zaidi hii Mofcom scholarship ni kweli kwa waajiliwa wa serikali?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimefanya application online na kuprint hardcopy ili kupeleka ubalozi mdogo wa china uliopo maeneo ya msasani Rd, osterbay (Economic and commercial) kwani application ya hii scholarship inakuhitaji kupeleka harcopy uko economic and commercial office baada ya kumaliza online application.
Nimefika kule ubalozi mdogo nikakutana na mlinzi akanigomea kuingia na akanambia hii scholarship ni kwa walioajiliwa na serikali kwa zaidi ya miaka miwili. Lakin tangazo linasema hii scholarship ni for young and middle age talented students na wala hayo ya kuajiliwa na serikali hayapo kwa mujibu wa tangazo.
Msaada jamani kwa anayejua zaidi hii Mofcom scholarship ni kweli kwa waajiliwa wa serikali?
Sent from my iPhone using JamiiForums
