haahaaaa kwa awamu mkuukwenye contract ukiambiwa "you shall be paid in arrears"Inamaanisha nn
Ondoa shaka mkuu maana yake ni hii:
Utakuwa unafanya kazi hadi mwishoni mwa mwezi say 30 days ndio unalipwa salary na si kinyume chke mfano ukiripoti mara ya kwanza kazini sept, 1 mwaka 2014 utaanza kulipwa mwisho wa september. Hii ni kuepuka kusema you will be paid in advance yaani ulipwe kabla ya kufanya kazi bt ufanye kazi na waondoe cku ambazo ukuhudhuria kisha ndo ulipwe iyo ndo essence ya hiyo clause mkuu.
Thanks nimetafuta kwenye kamusi hicho 'kibomba' arrears wakasema ni kiporo basi nikasalia na maswali tu! Asante kwa ufafanuzi