the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,894
Kwa eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 1000 inaingia miche mingapi ya nyanya??
Kwa upandaji wa mstari mmoja ni miche 1400 kwa mistari miwili ni 2800. Ukinunua mbegu unaongeza asilimia 30 kwa ile ambayo haitoota au itakufa uwe na ya kurudishia