Msaada kuhusu loan breakdown wadau

Msaada kuhusu loan breakdown wadau

kwenye list sikuepo ila jana CRDB walinitext wakanitell mamboi ya booom ndo leo nimeingia katika akaunt yangu nimeandikiwa hizo pesa ila ingieni na kwenu maybe wametoa iula hawajatangaza
Kwani inatakiwa tuwe na account crdb pekee? Benki nyingine vp? Barclays, exim, nmb, nbc?
 
Kwani inatakiwa tuwe na account crdb pekee? Benki nyingine vp? Barclays, exim, nmb, nbc?
Fungua crdb kama unataka upate boom kwa wakati...kama utakua bank nyingine pesa yako itachelewa...nimesoma na watu walikua na nmb ,pesa zao huingia karbia week baada ya watu wa crdb kupata boom lao.
 
Fungua crdb kama unataka upate boom kwa wakati...kama utakua bank nyingine pesa yako itachelewa...nimesoma na watu walikua na nmb ,pesa zao huingia karbia week baada ya watu wa crdb kupata boom lao.
Kwa sasa mambo yamebadilika kidogo .....km ipo tofaut ya siku bas ni moja tuu.....japo sio constant ....kuna boom moja walianza kupata nmb halaf baadae crdb
 
Zote zinatumika kwny system, bt hawa crdb wameamua tu kujulisha wateja kwa styl hii mkuu

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Poa poa, ila sioni haja ya kuwa na acount bank mbili tofauti na sio za biashara. Gharama za kuilipia crdb kwa mwaka, ndio zitatumika kunisave hiyo wiki 1,2,3....
Shukrani wadau. Mbarikiwe.
Fungua crdb kama unataka upate boom kwa wakati...kama utakua bank nyingine pesa yako itachelewa...nimesoma na watu walikua na nmb ,pesa zao huingia karbia week baada ya watu wa crdb kupata boom lao.
 
Back
Top Bottom