Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,652
- 5,133
Habar wadau naomba kuuliza maana ya hili neno breakdown!!!then wameniandikia sh mil 2085300
Kwan first batch ulipata?Hawajatoa ila nimechek loan stutus nd nimekuta hv
kwenye list sikuepo ila jana CRDB walinitext wakanitell mamboi ya booom ndo leo nimeingia katika akaunt yangu nimeandikiwa hizo pesa ila ingieni na kwenu maybe wametoa iula hawajatangazaKwan first batch ulipata?
We acha story CRDB wanahusikaje na boom bado hata hujasignkwenye list sikuepo ila jana CRDB walinitext wakanitell mamboi ya booom ndo leo nimeingia katika akaunt yangu nimeandikiwa hizo pesa ila ingieni na kwenu maybe wametoa iula hawajatangaza
kaka CRDB walitumia text leo ndo nimeeingiua katika akaunt yao ya helsb nimekuta boans breakdown mil 2 na something ila tution fee 0 nimepata meals and accommodation tuWe acha story CRDB wanahusikaje na boom bado hata hujasign
Ni kwel bana CRDB BANK Ina karibisha watu kujiunga kwako wote waliopata mkopo hutumiwa hiyo msg, ila haina maana boom kuwa limetoka tayari.We acha story CRDB wanahusikaje na boom bado hata hujasign
yaap dah nashukuru ila wamenipa boom tu peke yake dah hatarNi kwel bana CRDB BANK Ina karibisha watu kujiunga kwako wote waliopata mkopo hutumiwa hiyo msg, ila haina maana boom kuwa limetoka tayari.
https://www.heslb.go.tz/index.php/a...-watangazwa-awamu-ya-pili-ya-mikopo-2017-2018wametoa awamu nyingine tena?
umepata?thanks me kumbe nimewawahi kudadadeki
Kwani wewe umepata? Upo course gani
Umesoma sciebce plus government?Habar wadau naomba kuuliza maana ya hili neno breakdown!!!then wameniandikia sh mil 2085300
yaaah nimejiona kwenye oumepata?
Public in admnistration ni toka jna walikuwa washapeleka majina kweny vyuoKwani wewe umepata? Upo course gani
Private kote ila shule ilikuwa sio ya gharamaUmesoma sciebce plus government?
Nnimepata pia.umepata?