happy soul
Member
- Oct 20, 2022
- 6
- 6
Habari zenu, naomba kuuliza, niliapply nafasi za tra mwezi june, wametoa majina na sijawa shortlisted, kwa yeyote anayeweza kujua nini ilikua shida anipatie majibu please, maana nimewapigia tra wenyewe wameshindwa kunipa majibu husika.