Msaada kuhusu kusoma masters

Msaada kuhusu kusoma masters

matwin

Senior Member
Joined
Jan 7, 2016
Posts
124
Reaction score
134
Habari zenu wana jf. Mdogo wangu amemaliza degree ya economic of development. Kwa sasa anataka asome masters ya community development. Kulingana na soko la ajira hii kozi ni nzuri au? Msaada wenu wa mawazo plz.
 
Everything is useful it depends on the users.
Anyway ni nzuri kwa Sasa Nchi inahitaji community development officers wengi
 
Kama ana pesa ajiajiri aachane na maswala ya masters akimaliza apati kazi labda awe na ndugu kwy systems
 
Mkuu sorry economics of development ninatolowa wapi (chuo gani) hiyo kozi maana kwangu naona kama mpya hivi. Je kwa sasa ameshapata ujuzi kiasi gani?
 
Habari zenu wana jf. Mdogo wangu amemaliza degree ya economic of development. Kwa sasa anataka asome masters ya community development. Kulingana na soko la ajira hii kozi ni nzuri au? Msaada wenu wa mawazo plz.
binafsi ninge mshauri achukue masomo ambayo yatamwezesha kujiajiri baada yakumaliza endapo atakosa ajira ya kuajiriwa kuliko kusoma masomo amambayo application yake lazima uwe umeajiruwa tu
 
binafsi ninge mshauri achukue masomo ambayo yatamwezesha kujiajiri baada yakumaliza endapo atakosa ajira ya kuajiriwa kuliko kusoma masomo amambayo application yake lazima uwe umeajiruwa tu
Ni masomo gani (kozi gani) ambayo mtu akisoma anaweza kujiajiri? Tusaidie nasi wengine tujue maana hili jambo linakumba wengi
 
binafsi ninge mshauri achukue masomo ambayo yatamwezesha kujiajiri baada yakumaliza endapo atakosa ajira ya kuajiriwa kuliko kusoma masomo amambayo application yake lazima uwe umeajiruwa tu
Kwani kujiajiri ni mpaka usome masomo fulani?? Kuna watu ni form IV leavers na wamejiajiri wanapiga hela!

Kujiajiri ni ujanja wako tu ndugu!
 
Back
Top Bottom