Msaada kuhusu Kununua Trekta

Msaada kuhusu Kununua Trekta

Kwanza tambua unataka trector kwa matumiz yap, kuna aina nyingi kutokana na uwezo watractor, kuna two wheeled tractor {power tiller}, heavy powed trector{track laying} pia kuna four wheel powed tractor na general purpose tractor, hizi ndo nyingi tz unapenda ipi?
 
Ukiwa tayari nitakunganisha na jamaa anazo mbili moja mf .....nyingine valmet ziko kigamboni kazitoa scandinavia

Ova

Anauza shiling ngap maana nilishaanza kufanya mawasiliano na supplier mmoja hvi UK pamoja na harrow na disc plough na trailer lake kabisa.
 
Wadau humu ndani habari zenu, hili suala limenigusa nahitaji kwa ajili ya kusombea mbao msituni huku njombe kwetu. majibu ya SHAKIR yatanipa mwanga. kabajeti kangu mil 5 tu !
Bajeti ya kirikuu hiyo
 
Anauza shiling ngap maana nilishaanza kufanya mawasiliano na supplier mmoja hvi UK pamoja na harrow na disc plough na trailer lake kabisa.
jaribu aappsa.org
niliona wanauza matractor used lakini ya bei ndogo wenda ukapata mwanga zaidi.
Hapa ni karibu tu South africa, unaweza kuimport
 
jaribu aappsa.org
niliona wanauza matractor used lakini ya bei ndogo wenda ukapata mwanga zaidi.
Hapa ni karibu tu South africa, unaweza kuimport
Hawa aappsa.org wanaaminika?? Je kuna yoyote ambaye alishawahi kununua kutoka kwao, na alipata bila tatizo??

Tujaribu ku-share uzoefu
 
jaribu aappsa.org
niliona wanauza matractor used lakini ya bei ndogo wenda ukapata mwanga zaidi.
Hapa ni karibu tu South africa, unaweza kuimport
Hawa aappsa.org wanaaminika?? Je kuna yoyote ambaye alishawahi kununua kutoka kwao, na alipata bila tatizo??

Tujaribu ku-share uzoefu
 
Kuna jamaa yngu mmoja anaitwa dullah Yuko manzese anauza trekta nzuri na bei zake Syo pasua .......Ana ford na Massey model nyingi tu

Ova
 
Kuna jamaa yngu mmoja anaitwa dullah Yuko manzese anauza trekta nzuri na bei zake Syo pasua .......Ana ford na Massey model nyingi tu

Ova
Thanks kaka, je unaweza kuituma namba yake?? Nafikiri ni kwa biashara si mbaya ukiituma... Nimtume kijana kesho akaangalie... Otherwise ni PM kaka mkubwa
 
Thanks kaka, je unaweza kuituma namba yake?? Nafikiri ni kwa biashara si mbaya ukiituma... Nimtume kijana kesho akaangalie... Otherwise ni PM kaka mkubwa
Ni pm # zako

Ova
 
Back
Top Bottom