CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,999
Habari za asubuhi wapendwa..
Naomba kujuzwa utaratibu wa kununua gari Zanzibar na kulileta Bara....
Nasikia bei ya Zanzibar ni rahisi ukilinganisha na ya Bara, ila kuna kulipia ushuru...
Je utaratibu ni upi????
Shukran
Naomba kujuzwa utaratibu wa kununua gari Zanzibar na kulileta Bara....
Nasikia bei ya Zanzibar ni rahisi ukilinganisha na ya Bara, ila kuna kulipia ushuru...
Je utaratibu ni upi????
Shukran