Msaada kuhusu kununua gari Zanzibar

Msaada kuhusu kununua gari Zanzibar

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,999
Habari za asubuhi wapendwa..

Naomba kujuzwa utaratibu wa kununua gari Zanzibar na kulileta Bara....

Nasikia bei ya Zanzibar ni rahisi ukilinganisha na ya Bara, ila kuna kulipia ushuru...

Je utaratibu ni upi????

Shukran
 
Habari za asubuhi wapendwa..

Naomba kujuzwa utaratibu wa kununua gari Zanzibar na kulileta Bara....

Nasikia bei ya Zanzibar ni rahisi ukilinganisha na ya Bara, ila kuna kulipia ushuru...

Je utaratibu ni upi????

Shukran

Hakuna unafuu kivile kwani ukiileta Bara utalipia tofauti ya kodi .

Yaani tuseme labda Altezza kodi ya Zanzibar ni 1.5Mil, na ya bara ni 4.6Mil, utahitajika kulipia 3.1Mil Kwa Bara bila kujali kama Zanzibar imekaa muda gani.

So kama una uwezo vuta kitu from Japan direct.
 
Hakuna unafuu kivile kwani ukiileta Bara utalipia tofauti ya kodi .

Yaani tuseme labda Altezza kodi ya Zanzibar ni 1.5Mil, na ya bara ni 4.6Mil, utahitajika kulipia 3.1Mil Kwa Bara bila kujali kama Zanzibar imekaa muda gani.

So kama una uwezo vuta kitu from Japan direct.

Kwanini zanzibar iwe nafuu na Tanzania bara iwe ghali,lakini si kasevi 1.5 kwa kuangalia mfano wako juu
 
Hakuna unafuu kivile kwani ukiileta Bara utalipia tofauti ya kodi .

Yaani tuseme labda Altezza kodi ya Zanzibar ni 1.5Mil, na ya bara ni 4.6Mil, utahitajika kulipia 3.1Mil Kwa Bara bila kujali kama Zanzibar imekaa muda gani.

So kama una uwezo vuta kitu from Japan direct.

usiropoke uslolijuaaaaa :horn: kutoa gari zanzibar kuleta dar ni rahisi kulivyo unavyofikiria, na km isingekua hvyo basi watu wasingenunua gari kutoka zanzibar wakaleta dar
 
usiropoke uslolijuaaaaa :horn: kutoa gari zanzibar kuleta dar ni rahisi kulivyo unavyofikiria, na km isingekua hvyo basi watu wasingenunua gari kutoka zanzibar wakaleta dar

Wee ndio ucropoke uclolijua,kodi iko pale pale na gharama nyingine kama kusave utasave pesa kidogo sana
 
usiropoke uslolijuaaaaa :horn: kutoa gari zanzibar kuleta dar ni rahisi kulivyo unavyofikiria, na km isingekua hvyo basi watu wasingenunua gari kutoka zanzibar wakaleta dar

Mkuu hebu nijuzwe urahisi wake ukoje???
 
Kwanini zanzibar iwe nafuu na Tanzania bara iwe ghali,lakini si kasevi 1.5 kwa kuangalia mfano wako juu

Yeah,
Wana-assume uchumi wa Zanzibar uko chini.

Pia Kama Ye kanunulia Zanzibar ni Kweli kasevu hiyo 1.5 maana inabebwa na Dealer wa Zanzibar. Sema sasa Zanzibar wapendelea zaidi kutoa gari Dubai instead of Japan.
 
usiropoke uslolijuaaaaa :horn: kutoa gari zanzibar kuleta dar ni rahisi kulivyo unavyofikiria, na km isingekua hvyo basi watu wasingenunua gari kutoka zanzibar wakaleta dar

Mkuu,

Nimeingiza gari tatu from Zanzibar na mbili from Japan this year. Hakuna unafuu kwenye Logistics na labda financially utasevu kidogo but watch out the quality.
 
Yeah,
Wana-assume uchumi wa Zanzibar uko chini.

Pia Kama Ye kanunulia Zanzibar ni Kweli kasevu hiyo 1.5 maana inabebwa na Dealer wa Zanzibar. Sema sasa Zanzibar wapendelea zaidi kutoa gari Dubai instead of Japan.
Ahsante kwa ufafanuzi
 
usiropoke uslolijuaaaaa :horn: kutoa gari zanzibar kuleta dar ni rahisi kulivyo unavyofikiria, na km isingekua hvyo basi watu wasingenunua gari kutoka zanzibar wakaleta dar
Sasa si utwambie basi badala ya kujibu kiurahisi tu,bado tupo kizani
 
Wee ndio ucropoke uclolijua,kodi iko pale pale na gharama nyingine kama kusave utasave pesa kidogo sana

Bado na usafiri ,inabidi uipakie kwenye meli kwani Zanzibar si Bagamoyo kusema utalivurumisha vurumu hadi Dar
 
Habari za asubuhi wapendwa..

Naomba kujuzwa utaratibu wa kununua gari Zanzibar na kulileta Bara....

Nasikia bei ya Zanzibar ni rahisi ukilinganisha na ya Bara, ila kuna kulipia ushuru...

Je utaratibu ni upi????

Shukran

Utalipia tofauti ya kodi kiukweli hakuna unafuu ni maumivu tu...ni bora utoe japan moja kwa moja quality ya magari kutoka znz si nzuri

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Utalipia tofauti ya kodi kiukweli hakuna unafuu ni maumivu tu...ni bora utoe japan moja kwa moja quality ya magari kutoka znz si nzuri

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Sawa mkuu, na utaratibu wa kununua gari Japan ukoje?
 
T?…*
Sawa mkuu, na utaratibu wa kununua gari Japan ukoje?
Taratibu ni za kawaida tu.
Sema sasa Japan kuna suppliers wa aina kuu 3 labda;
1) Best reliable
2) Unknown na
3) Matapeli.

Hawa best reliable ndio kama vile Autorec, Nextage, Be forward n.k. Hawa unaweza ukaliona gari online, wakakupa bei,mkaelewana, ukalipia na kusubiri gari lako.

Unknown itategemea unawaamini vipi. But kama hawa pendelea kutumia Tradecarview kipengele cha Paytrade. Hapa utachajiwa extra fees ya udalali but hela zako zinakua salama.

Wa mwisho ni matapeli. Nlishawahi kuona gari moja inauzwa na suppliers wawili. Kufuatilia Tradecarview wakaniambia mmojawao ni Tapeli, ye hua anaiba picha za wenzake na kujifanya ana showroom.

Ukishipia unasubiri waipakie then wakupe BILL OF LADING. Yaweza kuchukua kama wiki 3 au mwezi kufika DSM. Na wakati ikiwa njiani utatumiwa original documents zako. Waweza kucheki clearing agent na Invoices zako akaanza mchakato.
 
kwa mfumo wa sasa kutoka znz kuja hapa hakuna uafadhali wowote!! kama unataka gari serious agiza japan na ukitaka msaada zaidi ni PM nikusaidie coz ndo kazi yangu hapa officen
 
Back
Top Bottom