Msaada kuhusu kujiunga jeshini

Msaada kuhusu kujiunga jeshini

prettydiva

Senior Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
101
Reaction score
39
Habari wadau...nilikuwa naomba kuuliza hivi ni hatua zipi za kufata kwa mtu anayetaka kujiunga na jeshi la tanzania,na kuna tofauti gani kati ya jkt &jwtz?...please nisaidieni.
 
Kwa utaratibu uliyopo sasa kama unataka kujiunga jeshi unaanzia kwanza jkt afu mambo mengine yatafuata.,
Na pia jwtz ina kamandi kuu tatu anga,maji na nchi kavu japo kuna mda mwingine huwa jkt inaisabiwa kama ni kamandi iliyopo chini ya jwtz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom