Mmmmhhhh... Laki moja.? Hapana japo sijakutana na hiyo scenario ni actual clues but as a lawyer nadhani hiyo ni pesa nyingi sana though ni kazi ya askari ku arrest but its a CIVIL litigation not CRIMINAL one, hapo ina maana linashughulikiwa privately by parties, anyway may be kama kuna sheria mpya inayosema hivo but kwa my view hapo kuna kitu sio sawa.