philemon musa
Member
- Oct 31, 2017
- 11
- 1
Habarin jamani nina simu nmeinunua ya itel asa ninataka ku unlock inataka email ya nyuma asa Nifanyaje kwasababu email ya nyuma siijui na mwenyewe aliyeniuzia hajui email yake@chiefmkwawa
Majibu yangu mimi yatahusisha kudownload miracle box ndiyo ufanye hiyo ishu.Habarin jamani nina simu nmeinunua ya itel asa ninataka ku unlock inataka email ya nyuma asa Nifanyaje kwasababu email ya nyuma siijui na mwenyewe aliyeniuzia hajui email yake@chiefmkwawa
Simu zinazotumia android version kuanzia 5.0 ukirestore kwa button (hard reset) ukiwa unaiactivate ndiyo utafika sehemu inakudai Google email iliyokuepo mwanzo kwenye simu.I restore tu simple kila kitu kinarudi kama mwanzo
Anhaa umesomeka mkuuSimu zinazotumia android version kuanzia 5.0 ukirestore kwa button (hard reset) ukiwa unaiactivate ndiyo utafika sehemu inakudai Google email iliyokuepo mwanzo kwenye simu.
Kwahiyo jamaa kashairestore ndiyo inamdai Gmail sasa.