Msaada kuhusu kozi za ualimu secondary diploma

Msaada kuhusu kozi za ualimu secondary diploma

empressu

Member
Joined
Jun 25, 2015
Posts
38
Reaction score
1
Naomba msaada tafadhali dogo kamaliza six kapata dvs 3 ya 14 so ana DEE anataka aende dipl.ualimu na fungua nacte cioni guidebook ya ualimu au kuna utaratibu mwingine waliosoma au wenye ufahamu juu ya hili plz help..asante
 
Naomba msaada tafadhali dogo kamaliza six kapata dvs 3 ya 14 so ana DEE anataka aende dipl.ualimu na fungua nacte cioni guidebook ya ualimu au kuna utaratibu mwingine waliosoma au wenye ufahamu juu ya hili plz help..asante
Apply tu... Hyo ni sifa bab kubwa kufanya DSE
 
Naomba msaada tafadhali dogo kamaliza six kapata dvs 3 ya 14 so ana DEE anataka aende dipl.ualimu na fungua nacte cioni guidebook ya ualimu au kuna utaratibu mwingine waliosoma au wenye ufahamu juu ya hili plz help..asante
Mkuu kuna chuo kinaitwa International university of Arusha fuatilia mtandaoni hasa fb watakizi mahitaji yako
 
Back
Top Bottom