Msaada kuhusu kozi za afya

Msaada kuhusu kozi za afya

Mhm! unapatajje C ya physics ukashidwa kukata Walau Du ya hesabu, nina mashaka na matokeo yako embu ambatanisha slip yako
Kaka hiyo sio sababu wengine math hatuipendi kabbisa.
Usikute kam huyo jamaa haipendi math kabbisa.
 
Kaka hiyo sio sababu wengine math hatuipendi kabbisa.
Usikute kam huyo jamaa haipendi math kabbisa.

Math ukiichukia automatically huwezi kufaulu physics trust on me, hata ukiingia na desa huchomoki
 
Math ukiichukia automatically huwezi kufaulu physics trust on me, hata ukiingia na desa huchomoki
Bro mm math nilikua siipendi kinyama na physics nilifaulu C necta.
Na toka form one nakimbia mtihan wa math lakin necta form two nilipata A ya physics necta form four nina C ya physics.
Na Advance niliposoma PCB kwa miezi michache kabla ya kuchaguliwa na technical college cha serikali kusomea c.o nilikua nafaulu physics mpk B ila chemistry ndio ilikua ngumu kwangu.
 
Back
Top Bottom