Gomez Luna
Senior Member
- Mar 13, 2017
- 187
- 205
Nephew wangu ana Biology A Physics C Chemistry C Math D... Vp kwa huyu?!... Kozi gan ya afya inamfaa?!
Mi nakushauri kachukue Diploma ya nursing uwe registered nurse(RN) 3 years.ambapo baadaye unaweza kuchukua degree yake au hata masters.pia unaweza kufanya kazi sehemu yoyote duniani ukiwa kama Nurse mwenye Diploma,degree na kuendeleaNipe ushaur mkuu maana coz ninayotaka kusoma ni hiyo clinical
Guide book mpya kutoka nacte wanasema ili usome nursing certificate or diploma inabidi uwe na phys D, chem C, Bios C imezua mjadala sana kwanini ipo hivyo ila ndo hivyo haijabadilikaMi nakushauri kachukue Diploma ya nursing uwe registered nurse(RN) 3 years.ambapo baadaye unaweza kuchukua degree yake au hata masters.pia unaweza kufanya kazi sehemu yoyote duniani ukiwa kama Nurse mwenye Diploma,degree na kuendelea
asa siaende advance au shida nini?Nephew wangu ana Biology A Physics C Chemistry C Math D... Vp kwa huyu?!... Kozi gan ya afya inamfaa?!
Kasome pharmacy unaweza kujiajiri kwa kufungua duka la dawa.Msaada napia coz IPI kati ya izo juu INA uwanja mpana wa ajira sasaivi msaada
Tushasema mpaka tushachoka... Hataki advance anataka Chuoasa siaende advance au shida nini?
mvivu wakusoma Huyo!!!!!mpeleke clinical medicine sasaTushasema mpaka tushachoka... Hataki advance anataka Chuo
Huyu aende form 5, kisha aje apige MD!Nephew wangu ana Biology A Physics C Chemistry C Math D... Vp kwa huyu?!... Kozi gan ya afya inamfaa?!
Kaka wew acha tu yani tushasema aende form 5 mpaka tumechoka.Huyu aende form 5, kisha aje apige MD!
f ya hisabu umepoteza sifa, phy umefaul hesabu umedunda duhWakuu mm biology B, chemistry C, physics C, English C, mathF,kati ya pharmaceutical na clinical medicine IPI Niki apply wananibeba msaada!!!
Cyo kweli kwamba f ya hesabu inamzuia mtu kusoma diploma ya clinical medicine...kinachoangaliwa ni. C ya chem,bios na d ya phy... Zngne ni sfa za nyongeza tu... Nina ushahidikama una f ya hesabu , unajisumbua ku apply ya nini, maana hamjasoma vigezo, minimum qualification uwe na c ya chem , c ya bios, d ya phy halafu english uwe na d pia hesab uwe na d ndio diploma utapata ya course ya afya, sasa mtu hesabu una f alafu unakuja kutusumbua uku, anyway nenda certificate
Kweli mkuu mwambie..Cyo kweli kwamba f ya hesabu inamzuia mtu kusoma diploma ya clinical medicine...kinachoangaliwa ni. C ya chem,bios na d ya phy... Zngne ni sfa za nyongeza tu... Nina ushahidi
Upo uwezekano kaka.Kaka wew acha tu yani tushasema aende form 5 mpaka tumechoka.
Kwani kama akienda kusomea hyo Clinical kwa mfano kuna uwezekano baadae akaja kuchukua hyo MD, embu nieleweshe kwanza nielewe.
Mhm! unapatajje C ya physics ukashidwa kukata Walau Du ya hesabu, nina mashaka na matokeo yakoKwa biology B, chemistry C ,Physics C, English C math F VIP naweza chaguliwa clinical medicine vyuo vya serikali msaada kakaaa
Mhm! unapatajje C ya physics ukashidwa kukata Walau Du ya hesabu, nina mashaka na matokeo yako embu ambatanisha slip yakoKwa biology B, chemistry C ,Physics C, English C math F VIP naweza chaguliwa clinical medicine vyuo vya serikali msaada kakaaa