Msaada kuhusu internet kwene simu ya double line

Msaada kuhusu internet kwene simu ya double line

Betason

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2015
Posts
387
Reaction score
700
habari wakuu...

ninatumia Huawei Y330 kwa mda sasa na ina line mbili, line 1 haina tatizo nikiweka chip ya mtandao wowote network haileti matatizo inasoma H au H+

Tatizo ni hii line 2, muda wote ni E tu, nilisikia humu wataalamu wakisema huwa simu zenye line 2 line no.2 huwa inazingua, sasa nahitaji msaada wenu nifanyeje ili hii line 2 nayo isome H au H+

naomba kuwasilisha
 
Kama Simu ni ya promotion yaani uli nunua kutoka tiGO au Airtel au Vodacom wana kasumba ya kubana line moja Ndo ikawa ina support 3G
 
Kama Simu ni ya promotion yaani uli nunua kutoka tiGO au Airtel au Vodacom wana kasumba ya kubana line moja Ndo ikawa ina support 3G
mkuu hii nilinunua dukani sio ya promotion...
 
Kwa uwezo wa simu yako huwezi kuaccess 3g to H+ at same time lazima ufanye chaguzi kwenye sim management na ni line 1 pekee utaenjoy 3g to H+ ndo imepewa uwezo huo ikizingatiwa na settings za internet za mtandao husika. Nawasilisha
 
Back
Top Bottom