Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

Msaada kuhusu ICT (information and communication technology)

Mmmh mkuu kwan kumsaidia mtu mpaka malipo
No free in this world unapotaka kujifunza ukumbuke walitumia gharama na wanaendelea kutumia gharàma sasa utatakaje bure??
Nenda vyuo vinavyifundisha mambo ya computer ndo utajua ghrama yake..wapenda vya BURE wanacheza TATU MZUKA, MNADA POA coz wnataka kutajirika kwa haraka na free yaana tsh 500 mtu anataka amiliki gari!.
Hakuna kitu kigumu kama kufanya coding alaf mtu anataka umpe asistant free ata magufuli anajua kuwa vya bure vina gharama.
Youtube ni free but wanafanya compasation kwa Ads kamahutak free lipia PREMIUM ndo ujue NO FREE.
 
No free in this world unapotaka kujifunza ukumbuke walitumia gharama na wanaendelea kutumia gharàma sasa utatakaje bure??
Nenda vyuo vinavyifundisha mambo ya computer ndo utajua ghrama yake..wapenda vya BURE wanacheza TATU MZUKA, MNADA POA coz wnataka kutajirika kwa haraka na free yaana tsh 500 mtu anataka amiliki gari!.
Hakuna kitu kigumu kama kufanya coding alaf mtu anataka umpe asistant free ata magufuli anajua kuwa vya bure vina gharama.
Youtube ni free but wanafanya compasation kwa Ads kamahutak free lipia PREMIUM ndo ujue NO FREE.
Duuh mm sio kuwa nataka bure ila hata kama unavitu ambavyo ww unajua mm sijui lkn kuna vingin mm najua ww hujui so tunahitaj kusaidian
 
Back
Top Bottom