Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 4,550
Kwani kwa sasa mlioko android mko version ipi si mnakwenda kwa alfabet kutoka kitkat, lolipop, marshmallow,nasikia sijui kuna nn vile mie niliishiaga kitimoto (kitikat) nikahama .Je ni ni features zipi nzuri mnazozipata mnapopata hizo updatesN kwel Mkuu Xiaomi kidogo wapo vzur kwa upande wa Android in terms of updates ukilinganisha na wengne, imagine simu yao ya mwaka 2013 MI 3 mpaka leo bado wanaipa updates.