Msaada kuhusu Geoinfomatics

Di Ty

JF-Expert Member
Jul 11, 2014
580
586
Wakuu..habari zenu..

Naomba kufahamishwa hii kitu inaitwa geoinformatics inahusiana na nini hasa? Na Challenges pia naomba kuzifahamu..

Ahsanteni
 
ni course nzur but ya ardhi ndio best..usije ukasoma kwengine..ukimaliza huwez kukaa nyumban..kazi zake zipo..
 
Ipo pale ARU inahusu Land Survey lakini yenyewe inadili sana kwenye geospatial database management. Unakuwa Land Surveyor ambae utahusika sana kwenye data processing, data management and validation. Kazi site sio kiviile ingawa unaweza kuzifanya pia.

Core course ni Geomatics lakini kuanzia mwaka wa tatu unspecialize kati ya:
1. Geomatics Engineering
2. Geodetic science
3. Geoinformatics
 
Wakuu..habari zenu..

Naomba kufahamishwa hii kitu inaitwa geoinformatics inahusiana na nini hasa? Na Challenges pia naomba kuzifahamu..

Ahsanteni

Land surveyors hao, utapima viwanja na mashamba za mipaka ya halmashauri yako ya jiji, manispaa, mji, mpaka wilaya...kwa kifupi wewe ni Mpima Ardhi daraja la pili, utatua sana migogoro ya Ardhi kati ya wakulima na wafugaji
 
Ipo pale ARU inahusu Land Survey lakini yenyewe inadili sana kwenye geospatial database management. Unakuwa Land Surveyor ambae utahusika sana kwenye data processing, data management and validation. Kazi site sio kiviile ingawa unaweza kuzifanya pia.

Core course ni Geomatics lakini kuanzia mwaka wa tatu unspecialize kati ya:
1. Geomatics Engineering
2. Geodetic science
3. Geoinformatics

Mule mule...dah!
 
Unaweza kufanya mgodini kupitia geological maping via remotesensing,,,mamlaka ya hali yahewa via geographical informationsystem,,,na atmospheric conditions,,, vilevile unaweza kuwa surveyor!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom