Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,197
- 4,554
Ndugu habari zenu, natumaini mu wazima. ningependa kujuzwa kuna baadhi ya watu hasa wenye email adres za yahoo ambapo nimekuwa nikiwasiliana nao na mwsho jumbe zao hutokea majna yao kamil namba zao za simu ,sanduku laposta na mtaa pia.je nifanyaje nami niweze kuweka detail hzokwenye gmail yangu