piga *150*03 chagua kujisajili alafu ingizanamba zilizopo kwenye kadi yako zilizo andika na maandishi makubwa then password ya kad yako then itakuletea ku create pasword ya cm benking.fuata hayo maelezo utafanikiwa.
nimejaribu but mwishoni inasema wrong pasword
kuuliza balance ....tshs200Shukrani mkuu Kilahiro hata mie sikuwa najua. Unaweza kufahamu makato yake kwa kila transaction. Mf. Kuhamisha pesa toka Simu kwenda bank and vice versa?? Kucheck balance ect???
kuuliza balance ....tshs200
mini statement ...tsh100
money transfer kwa akaunti zako...tsh 200
money transfer kwa 3rd party`s acc...tsh 400
cardless kwa namba za simu 1000
mobile money up to 200,000 ni...tsh 1000, 200,001-500,000 ni ...tsh2000,500,001-1000000 ni ...tsh5000
transfer from mobile money ni FREE
kuongeza salio la simu BURE
kulipia zuku,luku etc BURE
maintenance fee BUREE
In order to access SIM BANKING(CRDB), for the first time you must visit the CRBD branch near you. You will have to fill in the certain form. After that you can access the service within 24 hours after the notification in your mobile phone.
Mkuu bullet,mimi nilishaenda CRDB nikajaza form na wakanitumia namba ya siri. Nina Airtel money, Tigo pesa na M pesa. Airtel money nimefanya kama wanajamvi walivyoelekeza hapo kwa kubonyeza *150*03# imekubari na nimesajiliwa. Tigo pesa na M pesa nikibonyeza hizo namba linakuja jibu kwamba niwasiliane na tawi la CRDB lililo karibu kuweka rekodi zangu sahihi. Je, itakuwa ni kwa sababu labda sikujaza namba za simu kwa hizo account mbili kwenye ile form nilo jaza?
kuuliza balance ....tshs200
mini statement ...tsh100
money transfer kwa akaunti zako...tsh 200
money transfer kwa 3rd party`s acc...tsh 400
cardless kwa namba za simu 1000
mobile money up to 200,000 ni...tsh 1000, 200,001-500,000 ni ...tsh2000,500,001-1000000 ni ...tsh5000
transfer from mobile money ni FREE
kuongeza salio la simu BURE
kulipia zuku,luku etc BURE
maintenance fee BUREE
siku hizi mpaka wao wakutumie p/w wenyewe inayoyokuwa generated na system yaonimejaribu but mwishoni inasema wrong pasword
Asante sana mkuu... Lakini iko safe???
NDIO...Iko safe mpendwa..muhimu usitoe namba ya siri na kuwa makini katika akaunti unazo transfer...
USIMPE MTU NAMBA YAKO YA SIRI..