Msaada kuhusu confirmation code ya malipo ya application fee kwa M-pesa

Msaada kuhusu confirmation code ya malipo ya application fee kwa M-pesa

MBUNIFUmdogo

Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
40
Reaction score
9
Habari, naomba msaada wanajf,

Confirmation code kama ilivyoelezwa na NACTE ni lazima ianze na herufi, sasa payment ID yangu inaanza na namba, nifanyaje?nimejaribu kutuma hivyo hivyo imeshindikana..
 
Habari, naomba msaada wanajf,

Confirmation code kama ilivyoelezwa na NACTE ni lazima ianze na herufi, sasa payment ID yangu inaanza na namba, nifanyaje?nimejaribu kutuma hivyo hivyo imeshindikana..
How did you solved it?
 
Kulikuwa na tatizo la mpesa siku ya leo lkn limekwisharekebishwa unaweza kuendelea na usajili now
 
Kulikuwa na tatizo la mpesa siku ya leo lkn limekwisharekebishwa unaweza kuendelea na usajili now
Mkuu mbona mpka leo code ya M-PESA inagoma, pia code yangu inaanza na namba lakini wamesema nianze na herufi. msaada tafadhali.
 
Habari, naomba msaada wanajf,

Confirmation code kama ilivyoelezwa na NACTE ni lazima ianze na herufi, sasa payment ID yangu inaanza na namba, nifanyaje?nimejaribu kutuma hivyo hivyo imeshindikana..
nimewapigia voda wanasema kuna sms inatakiwa itumwe na nacte yenye herufi so tuwasiliane nao nacte na muda waloweka mchache na simu hawapokei
 
Back
Top Bottom