Thanks mkuu! Kwa hiyo hakuna mtu hapa bongo anaweza kuformat kuondoa hiyo circuit ya verizon. Dah nisubili nikirudi state sasa ndiyo nikatumia hapa bongo ni kimeo
Download Blackberry Desktop Manager halafu Download na Operamini then install.Search humu kuna thread inahusu kutumia
internet kwenye Blackbery bila BIS