Mambo ya msingi ya kijiuliza mchele unaupata wapi? kwa bei gani gharama zako (usafiri, malazi, pango, kukoboa, packaging etc) zikoje? Ni aina gani inapenda kwenye soko lako (firedume, shingo ya mwali, katrin 05, etc)? Gharama za manunuzi ukijumlisha na ghara zingine je bei ya kuuzia inakupa faida?
Suala la kuweka stock ni tofauti kidogo maana we mtaji wako ukizunguka ndio unapata faida nyingi wakati speculators wananunua na kuhifadhi bei ikipanda ndio wanauza.
Kubwa ni soko ulilolenga linamaslahi?