Wanajamii...! Naomba msaada kwa hili, benki ya posta wametangaza nafasi ya kazi ila kila nikituma kwa anuani yao waliotoa kua maombi yote ndio yapitie hapo mail yangu haipokelewi kabsa. Sasa sijui km tatzo ili ni kwangu tu au na kwa wengne na km tatzo hili ni kwa wote je yupo mtu anaeweza jua njia mbadala eiza iliyomsaidia kufikisha maombi yake au mtu mwingne anisaidie ni hilo tu wandugu. Naomba kuwakilisha.